Trip za mchanga zinahitajika (mwasonga kigamboni)

Trip za mchanga zinahitajika (mwasonga kigamboni)

Kitope

JF-Expert Member
Joined
Oct 12, 2011
Posts
236
Reaction score
58
Habari za mshughuli wakuu, kwa kuwakilisha tu kama kuna mtu anashughulika na lorry za mchanga, kokoto na kadhalika maeneo ya mwasonga kigamboni aje hapa kuna kazi zinahitaji trip za mchanga (lorry aina ya kipisi) ndio priority. mwenye shughuli hii tafadhali tuwasiliane hapa ili apewe tenda. Site ipo km 4 kutoka Dar-es-salaam Zoo hufiki mwasonga kwenyewe. nawakilisha na kuwatakia shughuli njema.
 
Mchanga upi,wa kujengea au plaster? Check me through 0764 468 469 ili tuongee!!
Bila shaka utapata mchanga wenye ubora wa hali ya juu,usio na chumvi inayoweza kuathiri ubora wa kazi yako,karibu.
 
Mchanga upi,wa kujengea au plaster? Check me through 0764 468 469 ili tuongee!!
Bila shaka utapata mchanga wenye ubora wa hali ya juu,usio na chumvi inayoweza kuathiri ubora wa kazi yako,karibu.
kufyatulia tofali
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom