Ibrah
JF-Expert Member
- Mar 22, 2007
- 2,729
- 528
Miaka ya 80 ndipo Africa ilipoanza kuvuma ktk ulimwengu wa soka hasa pale FIFA world cup ya 1982 ambapo Algeria na Comeroun ziliwakilisha Africa. Cameroun, ingawa ilitolewa mapema, haikupoteza mechi yoyote baada ya kutoka sare mechi zote 3 dhidi ya Peru, Italy na Argentina (kama sikosei). Ndipo alipoibuka kipa Thomas Nkono.
Tujikumbushe nyota wa Africa enzi hizo.
CAMEROUN 1980-90
Thomas Nkono & Joseph Antoine Bell (makipa), Emmanuel Kunde, Theophil Abega, Francoi Omam Biyik na nduguye Andre Omam Biyik
Tujikumbushe nyota wa Africa enzi hizo.
CAMEROUN 1980-90
Thomas Nkono & Joseph Antoine Bell (makipa), Emmanuel Kunde, Theophil Abega, Francoi Omam Biyik na nduguye Andre Omam Biyik