Treni ya TAZARA yaanguka!

Treni ya TAZARA yaanguka!

Bujibuji Simba Nyamaume

JF-Expert Member
Joined
Feb 4, 2009
Posts
76,579
Reaction score
161,430
BREAKING NEWS:
Mabehewa Matatu ya TRENI ya TAZARA yameacha reli eneo la Udagaji, Kata ya Chita Wilaya ya Kilombero.

Taarifa zaidi nitawajuza.
 
He...!! nimeskia wanasema express ya leo imeahirisha safari hadi kesho, inawezekana sababu ikawa hii..!!
 
Hujuma

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Miundombinu ya kuunga unga unadhani tutaepuka kupata ajali kama hizi?
 
BREAKING NEWS:
Mabehewa Matatu ya TRENI ya TAZARA yameacha reli eneo la Udagaji, Kata ya Chita Wilaya ya Kilombero.

Taarifa zaidi nitawajuza.

kweli mimi nipo kihansi kama kilometer 1 kutoka eneo la tukio,jirani zangu wamerudi nyumbani kuja kupata msosi maana abiria hawa wanaatabika sana
 
Mh CHITA?
Abiria wamepona?

Na pale wanaweza wakapona kwa ajari but simba wakawamaliza!
 
Back
Top Bottom