Magazetini
JF-Expert Member
- Aug 16, 2014
- 593
- 1,713
Habari wakuu,
Abiria waliokuwa wanasafiri na treni inayotumia reli ya kati kutoka Dar kuelekea Kigoma wamekwama kuendelea safari yao toka jana usiku kutokana na ajali iliyo mbele ya kituko cha Pugu hivyo kusimama kituo cha Pugu. Wanaohusika baada ya kutoa taarifa ya ajali hawaoneki eneo la tukio pia ofisi zilizopo kituo cha Pugu zimefungwa, abiria wamelalamikia uongozi kutochukua hatua yoyote juu yao.
Chanzo: ITV
Abiria waliokuwa wanasafiri na treni inayotumia reli ya kati kutoka Dar kuelekea Kigoma wamekwama kuendelea safari yao toka jana usiku kutokana na ajali iliyo mbele ya kituko cha Pugu hivyo kusimama kituo cha Pugu. Wanaohusika baada ya kutoa taarifa ya ajali hawaoneki eneo la tukio pia ofisi zilizopo kituo cha Pugu zimefungwa, abiria wamelalamikia uongozi kutochukua hatua yoyote juu yao.
Chanzo: ITV
Last edited by a moderator: