Jaman wadau nadhan mnajua umuhim wa tren na reli ya kati kwa usafir wa watu tutokeao kanda ya ziwa kaskazn,magharib,kusin.
Kuna taarfa zszo rasmi et tren imesitisha safar zake.Je hii ni kwel na sababu gan zmepelekea tatzo?,Na ln ukomo wa tatzo hl?.Tafadhal anayejua anjulishe..
Kuna taarfa zszo rasmi et tren imesitisha safar zake.Je hii ni kwel na sababu gan zmepelekea tatzo?,Na ln ukomo wa tatzo hl?.Tafadhal anayejua anjulishe..