mwita ke mwita
JF-Expert Member
- Aug 13, 2010
- 8,058
- 3,755
poleni
Ya umemeTreni ya mwakyembe au standard geji?
Kwa hiyo umeme umemwagika na watu wanauchota kwa maguduli!!!Ya umeme
HaWAJATOA BETRI?Ahahahahaaa
nije kukuchukua na helicopter ?Babe nimechelewa kibaruani yani zinga la foleni kuanzia Tabata Matumbi kulee![]()
![]()
Treni haijaacha njia ilichofanya Ni kuwapisha watembea kwa miguu watembee kwenye reli na wao wafurahi.Wana buguruni Leo ni zamu yenu kutembea kifua mbele kwenye reli
Treni haijaacha njia ilichofanya Ni kuwapisha watembea kwa miguu watembee kwenye reli na wao wafurahi.Wana buguruni Leo ni zamu yenu kutembea kwa miguu kifua mbele kwenye reli
jamaniiNjoo bado tupo kwenye foleniinije kukuchukua na helicopter ?
Ni kweli mkuu ilikua Leo asubuhi ! Watumia barabara ya kutoka Ubungo to buguruni, tumepata tabu sanaaBila kutaja saa, siku, tarehe, na mwaka ni porojo tu
Hiyo mbona kidogo kuna moja ilianzia river side hadi tazaraBabe nimechelewa kibaruani yani zinga la foleni kuanzia Tabata Matumbi kulee![]()
![]()



Yaani, nipo kwenye Gari nashuhudia mda Wa kuingia job ukiisha dahHiyo mbona kidogo kuna moja ilianzia river side hadi tazara![]()
, hiyo kuanzia Riverside aisee hatari
ila umedanganyaa kaoneeyeye ameona muhimu NI huyo bakharesa wakeUnaporipot ajari kitu cha kwanza ni kuzungumzia watu majeruhi au wafu kabla ya kitu chochote
hivi kwenye treni tuna CHOMOA NINI??Treni imeacha njia Buguruni Chama Bakhresa.
Dereva unayetumia njia hiyo unashauriwa kutafuta njia mbadala.
Pole asali wangu wa moyo.Yaani, nipo kwenye Gari nashuhudia mda Wa kuingia job ukiisha dah![]()
, hiyo kuanzia Riverside aisee hatari
![]()
ila umedanganyaa kaonee
Treni haijaacha njia ilichofanya Ni kuwapisha watembea kwa miguu watembee kwenye reli na wao wafurahi.Wana buguruni Leo ni zamu yenu kutembea kwa miguu kifua mbele kwenye reli
Unafaidi Kodi yako uliyojengea reliKutembea kwenye reli inakupaje kuweka kifua mbele?