bongo-live
JF-Expert Member
- Jul 3, 2013
- 1,017
- 931
napita tuuu...
Kumbe kutoka Arusha mpaka Singida hakuna lami? Hope kikwete alifanya jambo hapo kwani hii ni miji yenye umuhimu sana Tanzania
Naona mnajikakamua congrats.
Sasa nifanye nini?
Katika enzi za knowledge economy, wewe bado unafikiria vikwazo duni sampuli hiyo???!!!
Good try.More photos of tz roads tafadhali.
Hatutaki watalii maskini..Watu wajifunze na kinachotendeka Uingereza, mtikisiko wa kiuchumi ambao upo njiani kuwakuta kwa ajili ya hizi hulka za kibaguzi/xenophobic. Kwenye enzi hizi za leo, hauwezi ukawahamasisha watu wako waishi kibaguzi halafu utegemee kutoka kiuchumi.
Imagine Mkenya leo ukiingia Dar, Tanzania, halafu itokee unataka umtembelee jamaa yako Zanzibar, inabidi ulipe nauli ya boat kama mtalii wakati wanasema wao nchi moja. Wana tozo za kiajabu ajabu kwa majirani, nenda pale Ngorongoro unalipia kama Mfaransa aliyetua leo.
Tozo zao hizo hata wazungu wameanza kuwachoka, leo nimesoma mahali eti watalii 8,000 wamegeuza na kukatiza safari zao za kuingia Tanzania na kusababishia nchi kupoteza dola milioni sita. Soma hapa Watalii (wageni) zaidi ya elfu nane wakatisha safari zao kutokana na kodi
Nawe huleta picha za miaka io hio eti barabara za sasa za northern Kenya, ukishapewa uhalisia kupitia picha you immediately start tripping and denying
Livale aliuliza kiistaarabu tu nd yupo poa tu......
Geza nishamzoea Kaka, aweza kupa habari njema ya kuwa umeshinda millioni kwa kukuita "wewe millionaire hohehahe". Hata hakuona chini ya matamshi yangu nilisema natumai Kikwete alifanya kazi hapo kwani nilijua ni ya kitambo hio na nikakumbuka azimio la rais huyo mstaafu la kuiunganisha mikoa yote kwa hivyo uwezekano wa barabara hii kutokuwa lami nlikua nishaitilia Shaka.Livale aliuliza kiistaarabu tu nd yupo poa tu......
Wakenya wengi wanaijua Tanzania kupitia stories au ameishia dar tu hivyo, kuwaambia kiistaarab ni vyema zaidi though ninawajua trouble makers na wapo katika ignore list yangu
Nawe huleta picha za miaka io hio eti barabara za sasa za northern Kenya, ukishapewa uhalisia kupitia picha you immediately start tripping and denying
But that's a good road there, may Tz keep up the work