Transformer za TANESCO kuharibika, nini chanzo?

Transformer za TANESCO kuharibika, nini chanzo?

MIGNON

JF-Expert Member
Joined
Nov 23, 2009
Posts
4,114
Reaction score
5,114
Tumekuwa tukielezwa ya kuwa wizi wa mafuta ya transformer ndio chanzo kikuu cha kusababisha kungua lakini zaidi ya mwezi sasa kuna transformer mbili zimeungua katika wilaya moja wakati hakuna wizi wa mafuta uliotokea.

Wataalamu mnisaidie sababu zingine zinazoweza kufanya transformer i blow.
 
Kuungua kwa transformer kuna sababishwa na Surge or over current ktk phase zetu zinazoingia au load ikiwa kubwa pia inaweza leta mushikeri lakini pia Cooling system zetu zinapofeli Resistance inaongezeka ambapo matokeo yake Joto linapanda na kuunguza windings za transformer
 
Back
Top Bottom