habar zenu wanA jamii leo maeneo ya kariakoo,karume,temeke,ilala maeneo ya jiran umeme umekatika leo saa3 hasubuh kutokana na tatizo la kuungua kwa transfoma katika kituo cha sub station cha ilala mchikichin na mafund wanaendelea na jitihada za kunuru balaa hili la kulala bila umeme kwa mujibu wa taarifa hzo inawezekana umeme usiwepo kwa cku mbili au zaid km jitihada zitashindikana mwenye information zaid atupe data