mihadarati
JF-Expert Member
- Aug 27, 2013
- 268
- 74
Nipo kwenye gari tangu saa 12 nimetoka moshi naelekea Singida kwenye mazishi.
Kwa kweli kitu ambacho nimekiona cha tofauti na kero kubwa kwa wasafiri ni pamoja na rundo la trafiki barabarani kila baada ya kilomita mnapigwa mkono na hakuna cha maana wanachofanya zaidi ya kuchukua rushwa.
Huwa natumia sana njia hiyo mara kwa mara ila kipindi hiki wamezidi,maana mara ya mwisho wamecmamisha gari kisa watu wawil hawana siti na kungangania rushwa ya shilingi 20000 kwa kweli inasikitisha sana.
Natumai kwa east afrika nchi yetu ndo inayoongoza kwa usumbufu wa askar barabaran wasiokuwa na tija wanasimamisha gari wanaanza kukagua mabegi kwa kuuashika na mikono eti ndo kuangalia madawa ya kulevya.
Kwa kweli kitu ambacho nimekiona cha tofauti na kero kubwa kwa wasafiri ni pamoja na rundo la trafiki barabarani kila baada ya kilomita mnapigwa mkono na hakuna cha maana wanachofanya zaidi ya kuchukua rushwa.
Huwa natumia sana njia hiyo mara kwa mara ila kipindi hiki wamezidi,maana mara ya mwisho wamecmamisha gari kisa watu wawil hawana siti na kungangania rushwa ya shilingi 20000 kwa kweli inasikitisha sana.
Natumai kwa east afrika nchi yetu ndo inayoongoza kwa usumbufu wa askar barabaran wasiokuwa na tija wanasimamisha gari wanaanza kukagua mabegi kwa kuuashika na mikono eti ndo kuangalia madawa ya kulevya.