Huo ni ukatili na ushetani kwa binadamu mwenzako anayetafuta maisha, mshauri kama yeye ni mlozi sana afanye hivi: Magari yake yote yawe hayawezi kuonekana kwene macho ya trafiki, as simple as that.
Ndugu siye tumekuli huko,ni kweli huyo mzee yupo,kuna afande mmoja alikuja mgeni wenzake wakamusa kuhusu huyo mzee Kilenga lakini akaw mkaidi,siku ya siku maeneo ya stendi kuu moshi mjini akalikamata Kilenga express na ndo ikwa mwisho wa ajira yake.Ilikua kila akitia mguu ofisini majipu makubwa yanamtokea mwili mzima na homa kali sana mpaka alipo kufa..
Yuko mzee mmoja wa kipare anaitwa "Kilenga" ni maarufu sana mkoani kilimanjaro, huyo mzee ana magari (Kilenga Luxury) yanayopiga ruti za Arusha, Moshi, Tanga. Ikitokea trafiki akakamata gari yake basi huo ndo mwisho wa uhai wa huyo trafiki.