kagoshima
JF-Expert Member
- Dec 31, 2015
- 2,638
- 5,143
Kabla ya kufika wanging'ombe , hili eneo lipo nyuma ya Igawa kuelekea Mbeya. Hapo kabla ya Wanging'ombe kuna speed limit ya 50 na matuta kadhaa. Hata iweje kwa gari ndogo huwezi kukimbia
Kinachofanyika sasa kuna askari anakaa nje speed limit area, anakupiga picha unapo anza kuspeedup baada ya kutoka kwenye 50. Lengo ni nini?
Wamenifanyia hivo juzi. I was driving 40km / h, funny enough they charged me for overspeeding at 57/km per hour. Hii ni speed niloanza nayo wakati nimemaliza eneo lenye speed restrictions
Nasikia mmewekewa malengo, but what you're doing is unprofessional
Kinachofanyika sasa kuna askari anakaa nje speed limit area, anakupiga picha unapo anza kuspeedup baada ya kutoka kwenye 50. Lengo ni nini?
Wamenifanyia hivo juzi. I was driving 40km / h, funny enough they charged me for overspeeding at 57/km per hour. Hii ni speed niloanza nayo wakati nimemaliza eneo lenye speed restrictions
Nasikia mmewekewa malengo, but what you're doing is unprofessional