kimpe
JF-Expert Member
- Jan 26, 2012
- 911
- 862
Salaam wandugu,
Kusema ukweli kuendesha gari ndogo eneo la Mafinga si salama tena. Askari wa eneo hilo wanatabia ya kubambikia madereva tochi. wanapokaa (Mahakama) wanajifanya wametumiwa picha whatsapp et mtandao unasumbua haifunguk ila wanathibitisha kwa plate number walioandika kwenye karatas. Niliwabana nkawaambia washa wifi nwashe tethering mi mtandao full wakaishia kunifukuza niondoke ili nisiwaharibie kwa wengine.
Kuondoka mita kama 300 mbele nakuta wengine wananiambia et nimeovertake mlimani sehemu ambayo ina climbing lane tukabishana sasa climbing lane ya kazi gani pale wakaniachia.
RAI: Tembea mwendo wa serikali Mafinga na cha kufahamu tu kwenye kibao cha 50 wanakaa na tochi kibao kinapoishia ukiwa hta na 53 unalipa, usilipe faini bila uthibitisho maana wanabambika hao
Kusema ukweli kuendesha gari ndogo eneo la Mafinga si salama tena. Askari wa eneo hilo wanatabia ya kubambikia madereva tochi. wanapokaa (Mahakama) wanajifanya wametumiwa picha whatsapp et mtandao unasumbua haifunguk ila wanathibitisha kwa plate number walioandika kwenye karatas. Niliwabana nkawaambia washa wifi nwashe tethering mi mtandao full wakaishia kunifukuza niondoke ili nisiwaharibie kwa wengine.
Kuondoka mita kama 300 mbele nakuta wengine wananiambia et nimeovertake mlimani sehemu ambayo ina climbing lane tukabishana sasa climbing lane ya kazi gani pale wakaniachia.
RAI: Tembea mwendo wa serikali Mafinga na cha kufahamu tu kwenye kibao cha 50 wanakaa na tochi kibao kinapoishia ukiwa hta na 53 unalipa, usilipe faini bila uthibitisho maana wanabambika hao