TzComedy
JF-Expert Member
- Jul 15, 2017
- 890
- 700
Ningeweza kuwachukua picture kama Jerry Muro nami ningefanya hivyo, nimejionea kwa macho yangu Traffic wakichukua Mlungura usiozidi buku jero.
Kutokana na huaba wa usafiri ktk kipindi hiki cha wachaga kwenda Matambikoni huko kwao, nimekuwa nikitumia sana malori yanayosafirisha Korosho toka mikoa ya kusini yani Lindi na Mtwara ninapokuwa na safari zangu za Dar, kupitia usafiri huu, nimejionea mambo mengi kwa maana ya manzuri, mabaya na ya kustahajabisha, lakini kati ya hayo yote lililoniacha mdomo wazi ni ili la Traffic kuchukua buku kila walisimamishapo Lory,
Lakini zaidi ya yote, inaonesha ndio utaratibu mana hata madereva wenyewe nimewashuhudia wakiomba chenji ya buku 10 ili wapate bukubuku ya kuwapa traffic.
Kutokana na huaba wa usafiri ktk kipindi hiki cha wachaga kwenda Matambikoni huko kwao, nimekuwa nikitumia sana malori yanayosafirisha Korosho toka mikoa ya kusini yani Lindi na Mtwara ninapokuwa na safari zangu za Dar, kupitia usafiri huu, nimejionea mambo mengi kwa maana ya manzuri, mabaya na ya kustahajabisha, lakini kati ya hayo yote lililoniacha mdomo wazi ni ili la Traffic kuchukua buku kila walisimamishapo Lory,
Lakini zaidi ya yote, inaonesha ndio utaratibu mana hata madereva wenyewe nimewashuhudia wakiomba chenji ya buku 10 ili wapate bukubuku ya kuwapa traffic.