.. oleoju tena kwa taarifa yako mleta mada kuanzia sahvi trafic watazidi kula hela kwa hasira....yaani ni rushwa mbele kwa mbele..maana walivyoskiaa vigogo walivyokuwa wanachota hela za escrow tafrik vichwa vmewaumaaa zaidi....
hiyo niliambiwa na trafik fulani wanaokaga pale mlalakuwa tulipokuwa tuna piga story so tujiandae kwa maumivu yao zaidi