BASIASI
JF-Expert Member
- Sep 20, 2010
- 9,735
- 5,003
Hawa watu sio wakuwaacha sehemu moja wanazoea kazi
Tuko kwenye folen tukajiuliza shida nn nashuka kutembea nakuta gari zimejazana kwenye trafficlight kila mtu anataka kwenda
Kuangalia njia ya kwenda mwenge nawaona mtraffic watatu wamengangania gari kila mtu na lake...
Mmoja anaangalia kabisa ile msuguano nani apite aisee tuna kazi kubwa sana sana..
Tuko kwenye folen tukajiuliza shida nn nashuka kutembea nakuta gari zimejazana kwenye trafficlight kila mtu anataka kwenda
Kuangalia njia ya kwenda mwenge nawaona mtraffic watatu wamengangania gari kila mtu na lake...
Mmoja anaangalia kabisa ile msuguano nani apite aisee tuna kazi kubwa sana sana..