Brainy Chick
Member
- Mar 9, 2013
- 64
- 21
Kwa wale wa Assistant Tax Officer, simu bado zinaendelea kutiririka. Nina marafiki wawili wamepigiwa leo, msife moyo.
Kwa wale wa Assistant Tax Officer, simu bado zinaendelea kutiririka. Nina marafiki wawili wamepigiwa leo, msife moyo.
Hahahaha,poleni ni kwa wale waliofanya interview hivi karibuni.Mkuu unawarusha roho watu, wengine wanajua ajira mpya
Hahahaha,poleni ni kwa wale waliofanya interview hivi karibuni.
Poa ngoja nifanye hivyo!Dah unge edit kidogo hiyo title mambo yangekuwa mswano.
Asnte kwa info kaka!Ebana um a new member in the forum,hop ya'ol welcome me!
Kuhusu tra nackia kuna second batch, sa sijui ndo hio waloanza kuita jana ama vp.
kamanda ulikuwa unamaanisha two weeksKwa upande wangu sina tarifa kuhusu hilo kwani hata hao walioitwa barua zao hazionyeshi training itaisha lini.ila from past exprience kwa mfano wa mwaka jana walikaa 2 months.
kamanda ulikuwa unamaanisha two weeks
hivi nilazima uitwe jamani?kwa wale ambao hatujaitwa T.R.A as Assistant tax officer inakuaje au bado wanaendelea kuita?
hivi nilazima uitwe jamani?
sio lazima kuitwa ila ni ile presha tu na pia kukaa bila kazi kwa muda mrefu ukiona hujaitwa unajiuliza mara mbilimbili hivi ndo hawaiti tena au inakuwaje