TRA yapata Boss mpya

Teua baba teua, 2020 mwisho wako wa kuteua, usisahau kumteua Bashite kuwa mwenyekiti wa tume ya uchaguzi kabla ya 2020
 
kinacho nishangaza unakua kama mchezo wa draft..mtu hukai mahala ukatekeleza mipango mizuri ..mara unaondolewa analetwa mwingine..sasa sijui hajiamini katika teuzi zake..mmmh haya yeye ndio mwamuz
 
nadhan kila kiongoz anapoteuliw anawek mikakat n malengo juu ya shughul alzopangiwa.ss kw hali hii y pang pangua malengo yanawez fikiw kweli?
 
hivi mpaka leo wameshabadilishwa wangapi tangu Kitilya, na nini kimebadilika/kimeongezeka kiufanisi hadi sasa?
 
Teua baba teua, 2020 mwisho wako wa kuteua, usisahau kumteua Bashite kuwa mwenyekiti wa tume ya uchaguzi kabla ya 2020
Mkuu mimi hyo picha ya ID yako tu kusema ukweliii daah wacha nsimalizie yaan daah hivi aaah anyway.
 
Kutengua na kuteuwa ndio mtindo,hivi hata efficiency itaonekana kwa hii style
 
Ni matumaini yangu sasa zile Sinema za Kutengeneza kama siyo za Kulazimisha za Bandarini zitapungua kuanzia leo kwani kiukweli tumezichoka.
Hata wewe mwana ccm umezichoka sinema?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…