lendila
JF-Expert Member
- Sep 26, 2012
- 5,806
- 4,370
TRA wanaweza kuwasababishia watanzania msongo wa mawazo na sasa#hivi kazi yao ni kupita kwenye biashara za watu na kuwaandikia makosa na faini, bila kujali ukubwa wa biashara hawana muda wa kuangalia ukubwa wa biashara na hawaangalii mfanyabiashara anamiliki mtaji kiasi gani!
Namshauri waziri wa wizara ya fedha,pamoja na kamishina mkuu wa TRA kufuatlia hili zowezi kwa makini sana, wajitahidi sana kuwa makini kwenye hili zoezi.
Wasipokuwa makuni wataongeza umasikni zaidi kwa watanzania wenye biashara ndogo ndogo.
Nawasilisha
Namshauri waziri wa wizara ya fedha,pamoja na kamishina mkuu wa TRA kufuatlia hili zowezi kwa makini sana, wajitahidi sana kuwa makini kwenye hili zoezi.
Wasipokuwa makuni wataongeza umasikni zaidi kwa watanzania wenye biashara ndogo ndogo.
Nawasilisha