Mashoo Mashoo
JF-Expert Member
- Jan 7, 2014
- 375
- 105
Acheni utumwa wa kuajiriwa mnahangaikaa bure nafasi hizo zina wenyewe wanasubiria tu muda anzeni kujiajiri fursa ziko nyingi angalia kila eneo nini unaweza kufanya hata kama ni kuuza nazi
Sio kweli