Pole kwa usumbufu,ila dawa ya yote haya ni kurudisha utoaji wa leseni hizi kwa mamlaka husika,driving licences zirudishwe traffic dept.na za biashara ndogo ndogo serikali za mitaa ndio wajibu wao,TRA wao wahusike na kodi kubwa na sidhani kama tuna kitengo cha VIP kinachojihusisha zaidi na viongozi wa kitaifa including our no 1(sijawahi kusikia tax returns zake,na hii ni haki yangu kama mlipa kodi wa nchi),TRA wadeal zaidi na makampuni makubwa ,offshore accounts;sio kukimbizana na driving licences