TRA- internal investigator

TRA- internal investigator

PACHOTO

JF-Expert Member
Joined
Dec 30, 2011
Posts
1,321
Reaction score
974
Wadau nimepata email leo tarehe tano interview (written tarehe 10/12) kwa mwenye clue za interview za hawa jamaa atusaidie, natanguliza shukrani
 
du hongera kaka, inafanyika wapi sisi bado ngoja tuvute subira....hongera sana kaka
 
sorry tarehe 13 ijumaa msimbazi center, please mchango wengu ni muhimu kwangu,na mbarikiwe sana!
 
haijalishi but atlest tumejaribu kwa kadri ya uwezo wetu, kwa sasa anaejua matokeo trust me ni Mungu pekee
 
ndo wameanza kuita watu leo au lini?manake nadhani nilishawahi omba hiyo post na cjapata feedback,wametuma na mail pia?
 
ndo wameanza kuita watu
leo au lini?manake nadhani nilishawahi omba hiyo post na cjapata
feedback,wametuma na mail pia?

Ndio mkuu wametuma na mail mi walinitumia jana jaribu kucheck
 
wanatumia both means, kwa mfano mimi wamenipigia then wakaniuliza kama nishapata email nikawambia bado then ndo wakaniambia watatuma.....so just kuwa karibu na simu afu uwe unatembelea na mail kamanda.
 
wanatumia both means,
kwa mfano mimi wamenipigia then wakaniuliza kama nishapata email
nikawambia bado then ndo wakaniambia watatuma.....so just kuwa karibu na
simu afu uwe unatembelea na mail kamanda.

mkuu Ocampo check pm then nipe feedback
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom