Mr Bean.
Senior Member
- Jan 25, 2015
- 185
- 133
Mkuu kama siyo vyama vingi sijui huu utawala ungetupeleka wapi?Me nimeonda wizara ya ardhi kulipa Ada ya kiwanja hilo foleni nimeona niendelee tu maisha kama kawaida Wanipeleke tu huko mahakamani Utawala huu umeamua kutunyanyasa kisawasawa na wakati mwingine hatuelewi maybe kuna kosa tuliwafanyia...
Kiwanja na Ardhi tulipata kwa jasho letu kama utaratibu wa kupanga foleni chukueni tu nyumba am sure Tawala zijazo zitaturejeshea furaha ya jasho letu.. Mwenyezi Mungu anawaona wajue... Dhambi zao watazilipia hapa hapa duniani watambue hilo
Me nimeenda wizara ya ardhi kulipa Ada ya kiwanja hilo foleni nimeona niendelee tu maisha kama kawaida Wanipeleke tu huko mahakamani Utawala huu umeamua kutunyanyasa kisawasawa na wakati mwingine hatuelewi maybe kuna kosa tuliwafanyia...
Kiwanja na Ardhi tulipata kwa jasho letu kama utaratibu wa kupanga foleni chukueni tu nyumba am sure Tawala zijazo zitaturejeshea furaha ya jasho letu.. Mwenyezi Mungu anawaona wajue... Dhambi zao watazilipia hapa hapa duniani watambue hilo
Watz wengi wanapenda sana kusubr siku za mwisho kuzima moto, nashauri hizi siku zilizoongezwa kama hujalipia lipa mapema uzoefu unaonyesha muda ukiongezwa watu wanarelax wanakuja kujazana siku za mwisho..... Hapa tatizo sio TRA tatizo n sis tulizoea kuzima moto... Hata kwenye uhakiki wa TIN kulikuwa na same issue....
Watz wengi wanapenda sana kusubr siku za mwisho kuzima moto, nashauri hizi siku zilizoongezwa kama hujalipia lipa mapema, uzoefu unaonyesha muda ukiongezwa watu wanarelax wanakuja kujazana siku za mwisho..... Hapa tatizo sio TRA tatizo n sis tulizoea kuzima moto... Hata kwenye uhakiki wa TIN kulikuwa na same issue.