Dr.Mpande H
New Member
- Dec 8, 2009
- 1
- 1
Wana JF hawa jamaa waliwafanyia watu interview kule UCC kuna wadau walioitwa kazini maana naona miezi imeenda alafu kimyaaaaaaaa...
enz hzo hakuna efd mashne ndio tra ilkuwa tra watu wanapga diili sku hz tsh lak 9 to 1m mwsho wa mwez funga kaz
TRA ilikuwa zamani hizo
enz hzo hakuna efd mashne ndio tra ilkuwa tra watu wanapga diili sku hz tsh lak 9 to 1m mwsho wa mwez funga kaz
TRA kwisha habari yake siku hizi, ujanja ujanja tuuuuuuu...:hand:
Hakuna tena kukadiria ushuru wa magari kila kitu kwenye calculator yao, kila aina ya gari kodi inajulikana hahahaa
Tra nao wanapga mihayo tu kama walimu saivi.
Maisha magumu, wabongo tumepanic tunashindwa kujibu maswali aisee..
hahahahaha matangazo yakitoka hamtuambii ila mkiona chenga huko ndo mnakuja kuulizia wapigie simu uwaulize si una no yao waliokuitia kwa interview!humu ndani watu tumevurugwa!
secret service tehteh raia wamepanic
hahahahaha matangazo yakitoka hamtuambii ila mkiona chenga huko ndo mnakuja kuulizia wapigie simu uwaulize si una no yao waliokuitia kwa interview!humu ndani watu tumevurugwa!
secret service tehteh raia wamepanic