unadhani hawajui Basi. Ni wakwepa Kodi wakubwa ndio maana jamii hizi za kihindi wasomali Na waarabu hawawezi biashara ulaya wakapata faida ya kutisha mzungu Hana Sanaa huku fair play ukimuona tajiri yeyote ulaya muheshimu.
Hata Kama Sizonje akatubu kwaajili ya mustakabali wa Taifa kwaa hili la watu kulipa kodi msela apongezwe Na kuungwa mkpno