Baadhi ya maofisa wa TRA AUSHA wananishangaza sana unapokwenda kulipia kodi za ndani na za leseni za udereva wanakulazimishe ukalipie CRDB ambao wapo nao jengo moja,wakati hapo CRDB kuna foleni ndefu mno imezunguka kama kamba ni kwamba lazima ukae zaidi ya masaa matano.
Sasa sisi wananchi wengine tunaojua kwamba mabenki mengine nayo yanatoa huduma hiyo hatuendi hapo tunaenda benki nyingine na baada ya mda mfupi tunarudisha deposit slip ,chakushangaza unaambiwa umeenda kulipia wapi mbona hujaenda CRDB ninachojiuliza inamaana hawa wanataka sisi tushinde kwenye foleni.
Ninawashangaa sana hasa huyo mzee msimamizi wao hapo,na fomu yako inaweza ikapotezwa hata mwezi mzima inamaana huyo mzee anakwamisha utendaji kazi wa hapo TRA.
Jamani wahusika toeni huyo mtu hapo.
Sasa sisi wananchi wengine tunaojua kwamba mabenki mengine nayo yanatoa huduma hiyo hatuendi hapo tunaenda benki nyingine na baada ya mda mfupi tunarudisha deposit slip ,chakushangaza unaambiwa umeenda kulipia wapi mbona hujaenda CRDB ninachojiuliza inamaana hawa wanataka sisi tushinde kwenye foleni.
Ninawashangaa sana hasa huyo mzee msimamizi wao hapo,na fomu yako inaweza ikapotezwa hata mwezi mzima inamaana huyo mzee anakwamisha utendaji kazi wa hapo TRA.
Jamani wahusika toeni huyo mtu hapo.