Mwenye jeuri ya kubeba ndoo miaka mitatu mfulilizo ni mmoja tu. Hakuna cha Sheikh Yahya wala nini. Jangwani au Chamazi. Hilo siyo rocket science.Vyura wameanza kulainika.Pigeni ramli. Bingwa anapatika mwezi wa 5 ligi ikiisha.
Hizo ramli ni kumsaidia marhum Sheikh Yahya Hussein kazi yake iliyopita. Fungueni ofisi.
Umesema tu kuwa aina ya kocha waliye nae bila hata kuanisha huyo kocha ana sifa zipi za pekee kuliko makocha wengineoMtazamo Wang naona Azam anachkua TPL
1.Aina ya Coach waliyenaye
2.Wana vipaji vingikwa sasa hasa vijana ambao kasi yao Du hatari.
SIMBA na YANGA wajiandae kisaikolojia
Hivi goli la 3 la YOUNG AFRICANS FOOTBALL CLUB "The Citizen Team" kupitia kwa Papaa Heritier Makambo ni kweli halikuwa halali?
Mwaka huu TPL inatua Jangwani au Chamazi.
Bingwa ni young Africans
Huu ndio ukweli sasa.Yangaaa....
Kazingua kweli yaaniRefa kazingua
Bingwa anapatikana kabla ya mwezi wa tano,Vyura wameanza kulainika.Pigeni ramli. Bingwa anapatika mwezi wa 5 ligi ikiisha.
Hizo ramli ni kumsaidia marhum Sheikh Yahya Hussein kazi yake iliyopita. Fungueni ofisi.
Yaani marefa mwaka huu vimeo watupu.Hivi goli la 3 la YOUNG AFRICANS FOOTBALL CLUB "The Citizen Team" kupitia kwa Papaa Heritier Makambo ni kweli halikuwa halali?