tpdc vipi?

tpdc vipi?

Mi nnavyojua kuna organizAtion nyingine kabla hawajakutoa kwenye shortlist lazima wakupigie simu. Sina hakika kama tpdc nao ni hvyo hvyo au vipi! Kama hujapigiwa mpaka sasa then endelea kusubiri.

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
wadau mwenye taarifa kuhusu tpdc kama waeshatoa shortlist
kwa taarifa nilizopata leo kwa mtu aliyekutana na mtu mzito wa pale wataita mwezi ujao kuanzia katikati kwa kuwa maombi ni mengi sana na mchakato unaendelea na kuna uwezekano wa kufanya interview moja na ajira ni fasta baada ya interview... so endelea kusubiri mkuu...
 
Dah aisee mi pia nimesikia hivyo kuwa mwezi ujao wanaita watu kwa ajili ya interview
 
kwa taarifa nilizopata leo kwa mtu aliyekutana na mtu mzito wa pale wataita mwezi ujao kuanzia katikati kwa kuwa maombi ni mengi sana na mchakato unaendelea na kuna uwezekano wa kufanya interview moja na ajira ni fasta baada ya interview... so endelea kusubiri mkuu...

bora yako GIUSSEPE ushajikatia tamaa.

inamaana hakuna ata mtu mmoja mfanyakazi/ana undugu na hawa jamaa atumwasulie updates hapa??
 
Last edited by a moderator:
habari za uhakika za nyuma ya pazia toka tpdc ni kwamba hawa jamaa huwa hawachelewi kuita watu na mchakato uko fasta lkn nw wamechelewa sana wanashindwa cha kufanya maana vimemo ni vingi kupita kiasi kutoka ikulu,wizarani,idara nyeti serikalini na kila kona ya serikali...so hata wakiita itakuwa ni formality tu,watoto wa walalahoi hatuna chetu...lkn tuzidi kuomba maana liko Tumaini MUNGU pekee...tuombe aingilie kati...amen
 
habari za uhakika za nyuma ya pazia toka tpdc ni kwamba hawa jamaa huwa hawachelewi kuita watu na mchakato uko fasta lkn nw wamechelewa sana wanashindwa cha kufanya maana vimemo ni vingi kupita kiasi kutoka ikulu,wizarani,idara nyeti serikalini na kila kona ya serikali...so hata wakiita itakuwa ni formality tu,watoto wa walalahoi hatuna chetu...lkn tuzidi kuomba maana liko Tumaini MUNGU pekee...tuombe aingilie kati...amen

duh.

I quit.
 
Back
Top Bottom