TPDC Tena

TPDC Tena

watu huwa hawapendi kutukana lakini kichwa cha habari umeandika kike sana. pu..vu sana
 
Kazi inaendelea kuchambua applications I think mwisho wa mwezi huu au mwanzoni mwa march mtaanza kuitwa kwa usaili. HR
 
Yaani upeleke maombi hata wiki bado unataka kujua majibu, barua ndiyo kwanza ziko godown zinahesabiwa ili watu waanze shortlisting!!! Na hakika ni lazima ni mamilioni ya maombi so na vimemo juu!!! Halafu kigezo upper and first class!!!
 
Back
Top Bottom