mwanahabari93
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 263
- 169
Tujuzane kinachoendelea finali za kombe la shirikisho
Mleta uzi litendee haki hili jukwaa,,,, yani tumeshindwa kuanzisha thread siku ya Fainali kati ya WYDAD CASABLANCA AND AL AHLY!!!!! hii ulotuwekea haina msisimko mkuu.ni kama YANGA na MBAO FC
Au yanga vs mbeya city game haina msisimko uwanja umejaa wasambaa tu wanauza karanga