Kaliua urambo
JF-Expert Member
- Apr 21, 2009
- 603
- 127
kuna mwenye data zozote kuhusiana na ubora wa hii gari?,Tafadhari naomba unijuze!
shukran.
shukran.
NI MPAYA KIDOGO KWENYE SOKO LA TZ........UTASUMBUKA SPARES....NA INA BEI KIDOGO
![]()
Poa mkuu,maana nimetokea kuizimia sana.
NI MPAYA KIDOGO KWENYE SOKO LA TZ........UTASUMBUKA SPARES....NA INA BEI KIDOGO
![]()
Naona zinazidi kuzagaa jijini, ngoja nifanye mchakato wa kupata moja maana nimeona wanachaguo langu la Manual gear transmission.
haina 4WD?