misha nyangassa
Member
- Mar 29, 2015
- 95
- 41
- Thread starter
- #21
Yeah of coz, but 1300 cc haitishi ktk fuel consumptionVitz rs ni tofauti hizo vits nyingine na ina cc kubwa ni 1300 sio 990 ni nzuri hata safari inaweza
Yeah of coz, but 1300 cc haitishi ktk fuel consumptionVitz rs ni tofauti hizo vits nyingine na ina cc kubwa ni 1300 sio 990 ni nzuri hata safari inaweza
Haitishi kwa sababu ni vvti ambao ni mfumo mzuri wa kuchanganya hewa na petrol ingawaje si zaidi ya d4.Yeah of coz, but 1300 cc haitishi ktk fuel consumption
Hivi si hadi hizo 990 cc ni vvti?Haitishi kwa sababu ni vvti ambao ni mfumo mzuri wa kuchanganya hewa na petrol ingawaje si zaidi ya d4.
Ndio lakini kama unataka gari chukua hio kubwa.Hivi si hadi hizo 990 cc ni vvti?
Hebu nieleweshe hapo kwenye d4 engineNdio lakini kama unataka gari chukua hio kubwa.
wewe mgeni humu jf eeeh!! humu bwana kila gari Kali, kaenda ulaya na america, anaishi dar n.kWanaponda na unaweza kuta wao wanamiliki pikipiki huoniao au wanamiliki baiskeli chopa kujidai wanafanyia mazoezi au wanajidai wamenunua pikipiki kukwepa folen dar kumbe ndo usafir wao
D4 engine ni mfumo mpya baada ya vvti unatumia umeme na sensor nyingi lakini ni nzuri ingawaje mafundi wetu hawazitaki kwa kuwa ni modern sana. Mara nyingi hupatikana kwenye verossa, vista, corona premio na mark x au crown. Kwenye gari ndogo bado sijaziona.Hebu nieleweshe hapo kwenye d4 engine
Sasa faida yake Kubwa ni ipi?D4 engine ni mfumo mpya baada ya vvti unatumia umeme na sensor nyingi lakini ni nzuri ingawaje mafundi wetu hawazitaki kwa kuwa ni modern sana. Mara nyingi hupatikana kwenye verossa, vista, corona premio na mark x au crown. Kwenye gari ndogo bado sijaziona.
Inapunguza ulaji mafuta na gari inakuwa na nguvu.Sasa faida yake Kubwa ni ipi?
Let's say engine ya d4 2000cc inasukuma km ngapi kwa lita?Inapunguza ulaji mafuta na gari inakuwa na nguvu.
Ambazo nyingi ni 2500 ambazo zinafika mpaka 11.6 kwa lita engine ya 1jzsLet's say engine ya d4 2000cc inasukuma km ngapi kwa lita?
Asa kwa nn watu wengi wanaziogopa brevis wakidai zinabwia mafuta? Coz kuna ambazo nimeona zina d4Ambazo nyingi ni 2500 ambazo zinafika mpaka 11.6 kwa lita engine ya 1jzs
Nafikiri nilishakueleza tofauti ya mfumo wa vvti na d4 hebu rudia post zangu utaelewa usiishi kwa hisia za watu.Asa kwa nn watu wengi wanaziogopa brevis wakidai zinabwia mafuta? Coz kuna ambazo nimeona zina d4
Nimekupata ndugu yangu. Mafundi wa tz ni majipu hawapendi kujiendeleza.Nafikiri nilishakueleza tofauti ya mfumo wa vvti na d4 hebu rudia post zangu utaelewa usiishi kwa hisia za watu.
mkuu kuna dogo langu anataka gari ya kuanzia,sasa anataka ushauri between star let na vits rs achukue ipi hasa ukizingatia ugumu wa gari na wese na,spear.Vitz rs ni tofauti hizo vits nyingine na ina cc kubwa ni 1300 sio 990 ni nzuri hata safari inaweza
Achukue vits rs starlet nyingi ni model ya zamani kwenye ninety'smkuu kuna dogo langu anataka gari ya kuanzia,sasa anataka ushauri between star let na vits rs achukue ipi hasa ukizingatia ugumu wa gari na wese na,spear.
Nimeipenda gari hii kupitia convesation zenu je inakuwa bei ganiI need to know everything about this car