Toyota Starlet for Sale

Toyota Starlet for Sale

bizplan

JF-Expert Member
Joined
Jun 28, 2013
Posts
592
Reaction score
574
1. Toyota Starlet
2. Blue Colour
3. 22000 km
4. New Tyres
5. 8.5 million
6. Very very very good condition
7. Owner 0715237973
8. 1300 cc
9. 1997
10. Reg. D.....
11. You will enjoy driving new car at this reasonable price.
12. Sports Rims

Kwa maelezo zaidi wasiliana na mwenye mali, mm nimepost tu tangazo.
 

Attachments

  • 20150417_145728.jpg
    20150417_145728.jpg
    242.6 KB · Views: 850
  • 20150417_125208.jpg
    20150417_125208.jpg
    138 KB · Views: 714
Safi sana. Hope utapata mteja very soon. Kwa hiyo hali ya gari na bei yake binafsi naona ni reasonable tu.
All the best
 
1. Toyota Starlet
2. Blue Colour
3. 22000 km
4. New Tyres
5. 8.5 million
6. Very very very good condition
7. Owner 0715237973
8. 1300 cc
9. 1997
10. Reg. D.....
11. You will enjoy driving new car at this reasonable price.

Kwa maelezo zaidi wasiliana na mwenye mali, mm nimepost tu tangazo.

NB: Gari ipo Dar
 
Ongeza pesa kiongozi. Hutajuta kununua hii gari.
 
Acha ufala ww stalet 8.5 nana kasema mm mwenyewe nimeagiza sio kwa bei hiyo mpaka linafika hapa 5.5

Matusi ni uthibitisho wa ukichaa...

Kama vipi kwanini umemwambia aache ufala kama wewe sio kenge??

Hiyo yako ya 5.5m lazima utakuwa umeuziwa toroli.

Wajinga ndio waliwao.
 
Wewe una matatizo makubwa.
Kwanza kinachotufautisha bei unapoagiza gari japani ni quality ya gari inategemea yako ni grade gani. Nahisi yako ni chuma chakavu grade 3, kwa taarifa yako yangu ilikuwa grade 4.5 na imekuja na original km 8000 (elfu nane)

Hata hivyo kwa hiyo bei uliyoagiza hadi hapa 5.5 ww utakapolipa kodi itafikia mil 9 au zaidi
. Nakutakia wikend njema.
 
Gari bado ipo wadau. Mwenye kuhitaji gari nzuri sana na imara njoo uone kwa macho utakubali hichi ninachosema.
 
Wewe una matatizo makubwa.
Kwanza kinachotufautisha bei unapoagiza gari japani ni quality ya gari inategemea yako ni grade gani. Nahisi yako ni chuma chakavu grade 3, kwa taarifa yako yangu ilikuwa grade 4.5 na imekuja na original km 8000 (elfu nane)

Hata hivyo kwa hiyo bei uliyoagiza hadi hapa 5.5 ww utakapolipa kodi itafikia mil 9 au zaidi
. Nakutakia wikend njema.

Mkuu usipende kujibizana na makenge.... hiyo 5.5 kaisikia kwa watu tu. Anajifanya anajua kumbe kima tu, kuharibu biashara za watu ni tabia za ushoga.
 
Mkuu usipende kujibizana na makenge.... hiyo 5.5 kaisikia kwa watu tu. Anajifanya anajua kumbe kima tu, kuharibu biashara za watu ni tabia za ushoga.

Kweli mkuu kuna watu wanajisikia vzr sana kuharibu biashara za watu sijui wanapata faida gani.Hii ni gari ninaitumia kwa safari ndefu na ipo tayari kwa safari yeyote ndefu ni suala la kuwasha tu na kwenda. Naiuza sababu kuna gari nyingine nimeziagiza sasa kodi pesa imepungua.
 
Sio mbaya bei ipo constant kwa wazoefu wa magari kwa hizo specification zake.japo mnaweza kuongea kidooogo!
 
Mkuu usipende kujibizana na makenge.... hiyo 5.5 kaisikia kwa watu tu. Anajifanya anajua kumbe kima tu, kuharibu biashara za watu ni tabia za ushoga.

bora mseme, jf ina wapumbavu wanaoleta ujuha kwenye mambo ya msingi...bei ya mil 5.5 anayosema uliyemuita kenge ni bei ya mwaka 2007 mpaka 2009 uko, kwa sasa labda iyo atapata screpa, zile gari japani wanauza usd 400 na wameandika damaged.

nimfafanulie uyo asiyejielewa

fob kwa mgari mbovu usd 500

cif itakuja 1700 kama watachaji 1000-1150 usd for transport

TT fee , paytrade nk nk itakuja usd 1800 mpaka 2000

tuchukulie usd 2000

usd 2000 mara dollar rate (2,000x 2100) = 4,200,000/-

kwa kodi TRA hesabu zilizofanyika ya leo tar07/06/2015 kwa data za mleta mada ni

2,764,384/= yani

Make: TOYOTA
Model: STARLET
Body Type: HATCHBACK
Year of Manufacture: 1997
Fuel Type: PETROL
Engine Capacity: 1001 - 2000 CC
Customs Value CIF (USD): 1388.55
Import Duty (USD): 347.14
Excise Duty (USD): 86.78
Excise Duty due to Age (USD): 520.71
VAT (USD): 421.77
Total Taxes (USD): 1376
Total Taxes (TSHS): 2764384


jumla 2,764,384 (tax) + 4,200,000(cif)....= 6,964,384/=

umefanya jitihada zoote , gari imefika (hapo kuna gharama zingine cjaziweka) alafu anatokea tahira analeta kejeli...hawa watoto wengi wanaojibugi upumbafu kwenye mada za magari weeengi wao ni watoto wa facebook na wengine vibaka tu wasiojua biashara inafwanywaje!! waache wakati tunaojua tunasonga mbele.

mleta mada usikate tamaa kwa utumbo wa wasiojielewa!!!!

Gsana
 
bora mseme, jf ina wapumbavu wanaoleta ujuha kwenye mambo ya msingi...bei ya mil 5.5 anayosema uliyemuita kenge ni bei ya mwaka 2007 mpaka 2009 uko, kwa sasa labda iyo atapata screpa, zile gari japani wanauza usd 400 na wameandika damaged.

nimfafanulie uyo asiyejielewa

fob kwa mgari mbovu usd 500

cif itakuja 1700 kama watachaji 1000-1150 usd for transport

TT fee , paytrade nk nk itakuja usd 1800 mpaka 2000

tuchukulie usd 2000

usd 2000 mara dollar rate (2,000x 2100) = 4,200,000/-

kwa kodi TRA hesabu zilizofanyika ya leo tar07/06/2015 kwa data za mleta mada ni

2,764,384/= yani

Make: TOYOTA
Model: STARLET
Body Type: HATCHBACK
Year of Manufacture: 1997
Fuel Type: PETROL
Engine Capacity: 1001 - 2000 CC
Customs Value CIF (USD): 1388.55
Import Duty (USD): 347.14
Excise Duty (USD): 86.78
Excise Duty due to Age (USD): 520.71
VAT (USD): 421.77
Total Taxes (USD): 1376
Total Taxes (TSHS): 2764384


jumla 2,764,384 (tax) + 4,200,000(cif)....= 6,964,384/=

umefanya jitihada zoote , gari imefika (hapo kuna gharama zingine cjaziweka) alafu anatokea tahira analeta kejeli...hawa watoto wengi wanaojibugi upumbafu kwenye mada za magari weeengi wao ni watoto wa facebook na wengine vibaka tu wasiojua biashara inafwanywaje!! waache wakati tunaojua tunasonga mbele.

mleta mada usikate tamaa kwa utumbo wa wasiojielewa!!!!

Gsana

Pamoja sana kiongozi
 
TangAzo limekamilika but ni haina gani ya starlet? umeziba taa za mbele na nyuma, pili bei fixed?
 
Back
Top Bottom