Toyota RAV 4 yauzwa!!!

mokiwah

Member
Joined
Apr 1, 2012
Posts
11
Reaction score
0
Toyota RAV 4 yauzwa. Wasifu wake ni kama ifuatavyo;

** Imetengenezwa mwaka 2004
** Imeingizwa nchini mwezi mei, 2012
** Ni "Automatic Transmission Gear"
** Ukubwa wa engine ni 1800cc na VVTi
** Ni ya milango mitano (5)
** Imetembea km 119,000
** AM/FM Radio na CD player
Bei 26,000,000 Tshs. maelewano yapo... Mwenye kununua wa uhakika tuwasiliane mgosingwa@gmail.com


 

Attachments

  • IMG01550-20120619-1755.jpg
    297.6 KB · Views: 55
  • IMG01549-20120619-1755.jpg
    284.3 KB · Views: 52
Likiuzwa kwa hiyo bei je??? Walah ntawaomba JF wakuvue uanachama , tupinge!!!?
 
bei ndugu mil 26 ni nying kwann usiweke bei ambayo ni halali?
 
Milango ya mazungumzo iwazi ndugu zangu! Bei tajwa isiwe kikwazo cha wewe kushindwa kuja zungumza biashara.

"..... Biashara isiyo na mazungumzo si biashara kwa Mtanzania."
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…