Toyota Rav-4 inauzwa

Toyota Rav-4 inauzwa

Mdau gari iko vizuri sana, bei yako fair. Basi tu Sina hela. Kila la kheri.
 
Ngoja nikupe somo fupi la bima, ni faida kwako na wenzako. Gari unaponunua, bima inakuwa mwenye gari kama inavyoonyesha kwenye kadi ya gari. Hivyo basi, unaponunua gari kutoka kwa XXX na kwenda kubadilisha jina kwenye kadi ya gari kutoka XXX kwenda YYY (Jina lako), inabidi pia ukatie bima mpya gari lako kwani bima iliyopo ni ya XXX. Siku Ukipata majanga, ukipeleka claim insurer, yeye atakuruka na kusema ingawa gari ni lile lile ila mwenye bima ni XXX sio wewe wa YYY. Tuwe makini. Usiku mwema.

na hata usipobadili jina likitokea hanga hutolipwa wewe uliyenunua, bali lazima malipo yafanyike kwa mwenye jina la kadi. sasa ikitokea ukampata bushloya lazima akili ikae sawa sawa.
 
Ngoja nikupe somo fupi la bima, ni faida kwako na wenzako. Gari unaponunua, bima inakuwa mwenye gari kama inavyoonyesha kwenye kadi ya gari. Hivyo basi, unaponunua gari kutoka kwa XXX na kwenda kubadilisha jina kwenye kadi ya gari kutoka XXX kwenda YYY (Jina lako), inabidi pia ukatie bima mpya gari lako kwani bima iliyopo ni ya XXX. Siku Ukipata majanga, ukipeleka claim insurer, yeye atakuruka na kusema ingawa gari ni lile lile ila mwenye bima ni XXX sio wewe wa YYY. Tuwe makini. Usiku mwema.
Vipi Ukimchukua aliekuuzia ukampeleka Bima akusaidie ku-claim??
 
Kadi inasoma jina gani? Ya Mmiliki Mmiliki mpya
Sio kila anaenunua Gari hua anabadili Umiliki hapo hapo,
Pengine Umiliki bado uko ule wa awali na gari ikapata ajali
 
Sio kila anaenunua Gari hua anabadili Umiliki hapo hapo,
Pengine Umiliki bado uko ule wa awali na gari ikapata ajali
Kubadili umiliki ni Bei ndogo tu.ni vema kubadili umiliki
 
Ngoja nikupe somo fupi la bima, ni faida kwako na wenzako. Gari unaponunua, bima inakuwa mwenye gari kama inavyoonyesha kwenye kadi ya gari. Hivyo basi, unaponunua gari kutoka kwa XXX na kwenda kubadilisha jina kwenye kadi ya gari kutoka XXX kwenda YYY (Jina lako), inabidi pia ukatie bima mpya gari lako kwani bima iliyopo ni ya XXX. Siku Ukipata majanga, ukipeleka claim insurer, yeye atakuruka na kusema ingawa gari ni lile lile ila mwenye bima ni XXX sio wewe wa YYY. Tuwe makini. Usiku mwema.
Nashukuru kwa kumpa somo nafikiri ameshaelewa
 
Ngoja nikupe somo fupi la bima, ni faida kwako na wenzako. Gari unaponunua, bima inakuwa mwenye gari kama inavyoonyesha kwenye kadi ya gari. Hivyo basi, unaponunua gari kutoka kwa XXX na kwenda kubadilisha jina kwenye kadi ya gari kutoka XXX kwenda YYY (Jina lako), inabidi pia ukatie bima mpya gari lako kwani bima iliyopo ni ya XXX. Siku Ukipata majanga, ukipeleka claim insurer, yeye atakuruka na kusema ingawa gari ni lile lile ila mwenye bima ni XXX sio wewe wa YYY. Tuwe makini. Usiku mwema.
Hapo huwa kuna kitu kinaitwa cover note kama sijakosea iwapo umiliki wa gari utabadilika,ukibadili unapelek kwenye bima husika hyo cover note wanabadili pia umiliki wa bima.
 
Vipi Ukimchukua aliekuuzia ukampeleka Bima akusaidie ku-claim??
Hiyo sawa na wengi wanaopata Hayo majanga hufanya hivyo ila swali la kujiuliza, Huyo anayekuuzia mnafahamiana kwa karibu sana kiasi cha wewe kumwamini apokee hela kutoka insurer kwa niaba yako? (Kama gari likiwa written off). Mwingine anaweza kuwa kasafiri au kapoteza mawasiliano au mwingine Hataki tu. Ndio maana ili kuwa salama na kufuata taratibu unatakiwa kukata upya bima kwa ajili yako.
 
mnaharibu biashara ya watu, vema mkafungua Uzi mwingine wa masuala ya bima
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom