Ngoja nikupe somo fupi la bima, ni faida kwako na wenzako. Gari unaponunua, bima inakuwa mwenye gari kama inavyoonyesha kwenye kadi ya gari. Hivyo basi, unaponunua gari kutoka kwa XXX na kwenda kubadilisha jina kwenye kadi ya gari kutoka XXX kwenda YYY (Jina lako), inabidi pia ukatie bima mpya gari lako kwani bima iliyopo ni ya XXX. Siku Ukipata majanga, ukipeleka claim insurer, yeye atakuruka na kusema ingawa gari ni lile lile ila mwenye bima ni XXX sio wewe wa YYY. Tuwe makini. Usiku mwema.
Soma hapo kahaba weeWeka price mkuu
Vipi Ukimchukua aliekuuzia ukampeleka Bima akusaidie ku-claim??Ngoja nikupe somo fupi la bima, ni faida kwako na wenzako. Gari unaponunua, bima inakuwa mwenye gari kama inavyoonyesha kwenye kadi ya gari. Hivyo basi, unaponunua gari kutoka kwa XXX na kwenda kubadilisha jina kwenye kadi ya gari kutoka XXX kwenda YYY (Jina lako), inabidi pia ukatie bima mpya gari lako kwani bima iliyopo ni ya XXX. Siku Ukipata majanga, ukipeleka claim insurer, yeye atakuruka na kusema ingawa gari ni lile lile ila mwenye bima ni XXX sio wewe wa YYY. Tuwe makini. Usiku mwema.
Kadi inasoma jina gani? Ya Mmiliki Mmiliki mpyaVipi Ukimchukua aliekuuzia ukampeleka Bima akusaidie ku-claim??
R u serious?Bei gani mkuu
Sio kila anaenunua Gari hua anabadili Umiliki hapo hapo,Kadi inasoma jina gani? Ya Mmiliki Mmiliki mpya
Kubadili umiliki ni Bei ndogo tu.ni vema kubadili umilikiSio kila anaenunua Gari hua anabadili Umiliki hapo hapo,
Pengine Umiliki bado uko ule wa awali na gari ikapata ajali
Nashukuru kwa kumpa somo nafikiri ameshaelewaNgoja nikupe somo fupi la bima, ni faida kwako na wenzako. Gari unaponunua, bima inakuwa mwenye gari kama inavyoonyesha kwenye kadi ya gari. Hivyo basi, unaponunua gari kutoka kwa XXX na kwenda kubadilisha jina kwenye kadi ya gari kutoka XXX kwenda YYY (Jina lako), inabidi pia ukatie bima mpya gari lako kwani bima iliyopo ni ya XXX. Siku Ukipata majanga, ukipeleka claim insurer, yeye atakuruka na kusema ingawa gari ni lile lile ila mwenye bima ni XXX sio wewe wa YYY. Tuwe makini. Usiku mwema.
Nikusaidie tu mkuu, INSURANCE is not transferable. Policy aliyoingia mtu A hairithiwi na mtu B.Inaisha lini??
Kubadili umiliki ni Bei ndogo tu.ni vema kubadili umiliki
Hapo huwa kuna kitu kinaitwa cover note kama sijakosea iwapo umiliki wa gari utabadilika,ukibadili unapelek kwenye bima husika hyo cover note wanabadili pia umiliki wa bima.Ngoja nikupe somo fupi la bima, ni faida kwako na wenzako. Gari unaponunua, bima inakuwa mwenye gari kama inavyoonyesha kwenye kadi ya gari. Hivyo basi, unaponunua gari kutoka kwa XXX na kwenda kubadilisha jina kwenye kadi ya gari kutoka XXX kwenda YYY (Jina lako), inabidi pia ukatie bima mpya gari lako kwani bima iliyopo ni ya XXX. Siku Ukipata majanga, ukipeleka claim insurer, yeye atakuruka na kusema ingawa gari ni lile lile ila mwenye bima ni XXX sio wewe wa YYY. Tuwe makini. Usiku mwema.
Hiyo sawa na wengi wanaopata Hayo majanga hufanya hivyo ila swali la kujiuliza, Huyo anayekuuzia mnafahamiana kwa karibu sana kiasi cha wewe kumwamini apokee hela kutoka insurer kwa niaba yako? (Kama gari likiwa written off). Mwingine anaweza kuwa kasafiri au kapoteza mawasiliano au mwingine Hataki tu. Ndio maana ili kuwa salama na kufuata taratibu unatakiwa kukata upya bima kwa ajili yako.Vipi Ukimchukua aliekuuzia ukampeleka Bima akusaidie ku-claim??