Toyota Noah Voxy inauza .

Mavindozii

JF-Expert Member
Joined
Oct 20, 2012
Posts
2,110
Reaction score
2,786
Hello Wana JF natumaini mnaendelea vizuri Kwa uwezo wake muumba Wetu aliye mkuu, Nina Toyota Noah Voxy Nauza iko Arusha mjini .Bei yake Ni 8milion iko safi haijawahi kupata ajali ,mwenye kuhitaji please PM
 
Nanii weeeee
Haya ngoja waje tu
 
Usidanganye watu. Hilo gari haliwezi kuwa Toyota Noah Voxy kwa wakati mmoja. Ni Noah au ni Voxy basi
 
Hii ni number gani boss, mana hiyo chuma bei ya kuagiza mupya kabisa hapa kwa baba j ni kuanzia 10-12m hapo
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…