Toyota land cruiser

Toyota land cruiser

TEAM 666

JF-Expert Member
Joined
Dec 7, 2017
Posts
4,423
Reaction score
8,653
Habari wakuu

Naomba ushauri nina-plan ya kununua Toyota land cruiser series ya 100 used hapa bongo ushauri wenu wakuu
Hii ndo my dream Car ila Sina uwezo wakuagiza from pajan
 
Habari wakuu

Naomba ushauri nina-plan ya kununua Toyota land cruiser series ya 100 used hapa bongo ushauri wenu wakuu
Hii ndo my dream Car ila Sina uwezo wakuagiza from pajan
Chuma safi sana. Hasa ya mwaka 2006 na 2007.

Ukipata ya diesel hasa 1HZ na unajua kutunza gari, itakuwa poa sana. Japo 1HD FTE bado unaweza kuishi nayo vizuri.

Ya petrol ni nzuri upande wa maintanance. 1UZ haina shida ndogo ndogo kama imetunzwa vizuri. Sasa sana ni kubadilisha timing belt tu kila baada ya km kadhaa. Japo lita moja ni kati ya 5 to 8km
 
Back
Top Bottom