Gucci gang
JF-Expert Member
- Jan 7, 2018
- 2,448
- 4,475
Kama unaongelea kimo ..kama ipo chini sana ni kwasababu ya hp 800.Mbona imekaa kama probox
Dah sema 800HP hizo zitakua fujo sasa
Sent from my M2101K7AG using JamiiForums mobile app
Gari kama hili lenye 800 hp automatically watu wanlitakia speed so linabidi lishushwe ili liwe stable zaidi.
Ila 800hp dah
Kama nyingi hv kwa suv