Nyani Mzee Snr
JF-Expert Member
- Feb 4, 2021
- 12,122
- 42,756
Hii kitu unaenda na kurudi bila wasi wasi.. 😎😎 TO 360 na HP 230...0mimi naona ni dereva kakanyaga mafuta mengi , bora hata angeegemea ngema asingepigwa U turn
kuna member kasema Subaru AWD inapandisha hapo kwenye mfinyanzi
L/C hata kichanga haiwezi sembuse mfinyanzi
wapo wababe wanapanda na kuzima moto
View attachment 1779116