Nafikiri huna ujuzi na system za TRA, usajiri ushalipiwa ila namba haijatoka.
Kingine mileage ya hio gari yako ni tofauti na gari zangu. Alafu ingekua rahisi kuagiza magari kila mtu angefanya hivo. Kuna aspect ya risk hapo ambayo huwa converted to cost my friend.
Besides, kuanzia next month 2005 ISTs zina uchakavu so my prices are automatically very cheap now.