toyota hilux double cabin inatakiwa haraka

toyota hilux double cabin inatakiwa haraka

FLASH HIDER

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2012
Posts
397
Reaction score
508
Ndugu zangu gari aina ya toyota hilux double kibin inatakiwa. Kama unayo ikiwezekana weka na bei kbs
 
ipo milioni 30.... ni pm tuongee
 
TOYOTA HILUX IMETUMIKA TZ TAYARI ILA IKO POA,BEI 13Milion Inops_Tanzania_Hilux_01.jpg Inops_Tanzania_Hilux_03.jpg
 

Attachments

  • Inops_Tanzania_Hilux_02.jpg
    Inops_Tanzania_Hilux_02.jpg
    239.6 KB · Views: 158
acha kumdanganya mwenzio hivyo njoo unpm mie utapata nzuri na ya kisasa zaidi kama hiii nilioattach hapa View attachment 102637

Nilichomdanganya ni kipi sasa Mkuu? Kama unauza na wewe sema tu bei yako, siyo unaponda biashara ya mtu, wajasiriamali wa bongo tusiwe hivyo, kama unaweza kusupply kwa cheaper wewe shusha nondo hapo chini haina haja kuni-quote mimi, mimi bei yangu ni 28M, CIF Dar, na inazungumzika! TUFANYENYENI KAZI KWA UPENDO JAMANI, WATEJA WAKO WENGI TU MBONA!
 
nilikuwa na kupima tu nione uko na jazba au la? kumbe uko na jazba oky usijali lakini ni mambo ya jf haya bhana best sorry
Nilichomdanganya ni kipi sasa Mkuu? Kama unauza na wewe sema tu bei yako, siyo unaponda biashara ya mtu, wajasiriamali wa bongo tusiwe hivyo, kama unaweza kusupply kwa cheaper wewe shusha nondo hapo chini haina haja kuni-quote mimi, mimi bei yangu ni 28M, CIF Dar, na inazungumzika! TUFANYENYENI KAZI KWA UPENDO JAMANI, WATEJA WAKO WENGI TU MBONA!
 
nilikuwa na kupima tu nione uko na jazba au la? kumbe uko na jazba oky usijali lakini ni mambo ya jf haya bhana best sorry

Nilikuwa nakuelewesha tu, jazba sina!..kama nimekukwaza nisamehe! Pamoja.
 
Ndugu zangu gari aina ya toyota hilux double kibin inatakiwa. Kama unayo ikiwezekana weka na bei kbs

hilux d/cabin,3L ingine,2.8 ya mwaka 1995 inatembea iko ktk hali nzuri ukitupia 2mil unauza 20mil! Bei poa ni PM tuongee!
 
Mkuu CYBERTEQ hiyo 28m ni Tsh au u$ vipi imeshalipiwa ushuru au ndiyo mtu ajiandae kupambana na TRA?.

Nilichomdanganya ni kipi sasa Mkuu? Kama unauza na wewe sema tu bei yako, siyo unaponda biashara ya mtu, wajasiriamali wa bongo tusiwe hivyo, kama unaweza kusupply kwa cheaper wewe shusha nondo hapo chini haina haja kuni-quote mimi, mimi bei yangu ni 28M, CIF Dar, na inazungumzika! TUFANYENYENI KAZI KWA UPENDO JAMANI, WATEJA WAKO WENGI TU MBONA!
 
Last edited by a moderator:
Bajeti yangu naanzia 20 M iwe kwenye hali nzuri
Ndugu Najua unahitaji Hilux Double cab, ila kwa budget hiyo TOYOTA NZURI UNAWEZA KUSUBIRI SANA... Kama Vipi Nicheki tufanye biashara kwa MISTUBISHI L200, 2.5cc TURBO DIESEL, IMETOKA LEO BANDARINI, NDIO KWAAANZA NAIBANDIKA NAMBA KESHO... BEI 20m, Picha na maelezo mengine Icheki hapa https://www.jamiiforums.com/matangazo-madogo/488696-double-cab-pick-up-just-imported-for-sale.html

Karibu tufanye biashara...
View attachment 102707 View attachment 102708 View attachment 102709
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom