Sputam
JF-Expert Member
- Jan 22, 2013
- 600
- 390
Salaam wakuu....
Kwa bajeti ya 15.5M nitaweza kupata toyota harrier old model kwa kuagiza toka Japan? Hapa namaanisha niwe nimelipa kila kitu naliingiza barabarani.
Pia naomba kujua hizi old model 1st generation 1998-2001 ni ipi ina engine nzuri? Kwa mawazo yangu nilipenda niagize ya mwaka 2000,2016cc ila sina uhakika na ubora wa ingine yake.
Ahsanteni.
Naomba mawazo yenu.
Kwa bajeti ya 15.5M nitaweza kupata toyota harrier old model kwa kuagiza toka Japan? Hapa namaanisha niwe nimelipa kila kitu naliingiza barabarani.
Pia naomba kujua hizi old model 1st generation 1998-2001 ni ipi ina engine nzuri? Kwa mawazo yangu nilipenda niagize ya mwaka 2000,2016cc ila sina uhakika na ubora wa ingine yake.
Ahsanteni.
Naomba mawazo yenu.