Serious buyer haangalii kosa hilo yee anakupgia sim anapenda eneo la tukio anakagua Gari akiridhika nayo....anakagua uhalali wa doc za Gari ndy anafanya malipo...Madalali wanafanya vitu vya kubahatisha ndio maana wanaweza kuchanganya majina na document wanaona ni sawa tu