wiztech JF-Expert Member Apr 20, 2020 256 486 Apr 17, 2024 #1 Habarini wa kuu nina kigari changu Toyota cami cc1290 wakuu kinakunywa mafuta kama defender nisaidieni wataalam nini cha kubadilisha?
Habarini wa kuu nina kigari changu Toyota cami cc1290 wakuu kinakunywa mafuta kama defender nisaidieni wataalam nini cha kubadilisha?
Mad Max JF-Expert Member Oct 21, 2010 20,337 54,120 Apr 17, 2024 #3 1. Oil 2. ATF 3. Plug 4. Coils 5. Fuel & Air Filters 6. Oxygen Sensors 7. Valves 8...
Tate Mkuu JF-Expert Member Jan 24, 2019 28,784 83,143 Apr 21, 2024 #4 Tangu nilipoanza kumiliki gari miaka mingi iliyopota, nimegundua injini na gear box ndiyo kila kitu. Hivyo vitu viwili vikianza tu kuzingua, aisee utalichukia gari mpaka basi.
Tangu nilipoanza kumiliki gari miaka mingi iliyopota, nimegundua injini na gear box ndiyo kila kitu. Hivyo vitu viwili vikianza tu kuzingua, aisee utalichukia gari mpaka basi.