Toyota alteza

Toyota alteza

Prof Decentman

JF-Expert Member
Joined
Jul 14, 2013
Posts
276
Reaction score
140
Wadau, nimetokea kuipenda Alteza na ninataka kuinunua. Nimekuwa mpenzi na mtumiaji wa Nissan siku zote, nataka nitumie Toyota hasa alteza kwa kuwa ni sportish na ninapenda ilivyo. Ushauri wangu ninaoomba kwenu mnijuze kwa wale wenye uzoefu na mambo haya katika gari hizi;

1. Uimara
2.Utumiaji mafuta
3.Upatikanaji wa spea
4.Spidi
5. Tatizo lolote ama uzuri wa ziada wa gari hizi.

Mbali na kuwa na mizunguko ya hapa lakini naweza fanya safari za mikoani hasa Arusha, Mwanza, Mbeya na Mtwara.

Naomba ushauri wenu wadau.
 
Wadau, nimetokea kuipenda Alteza na ninataka kuinunua. Nimekuwa mpenzi na mtumiaji wa Nissan siku zote, nataka nitumie Toyota hasa alteza kwa kuwa ni sportish na ninapenda ilivyo. Ushauri wangu ninaoomba kwenu mnijuze kwa wale wenye uzoefu na mambo haya katika gari hizi;

1. Uimara
2.Utumiaji mafuta
3.Upatikanaji wa spea
4.Spidi
5. Tatizo lolote ama uzuri wa ziada wa gari hizi.

Mbali na kuwa na mizunguko ya hapa lakini naweza fanya safari za mikoani hasa Arusha, Mwanza, Mbeya na Mtwara.

Naomba ushauri wenu wadau.

Unatafuta kuingia kwenye anga za "Wazee wa Power Window"??
 
Mkuu cjakusoma vzr anga za wazee wa power window aje??

Kama unaamini una Ulinzi wa Kutosha kwenye parking yako basi ni gari nzuri tu.
Otherwise kama parking sio ya kuaminika sana basi nakupa miezi isiyozidi sita utakua ushanunua Taa Za mbele, Taa za Nyuma, Power Window, Bampa la Mbele, Side Mirror, TV Navifator, radio, AC, Rejeta, Control Box vimgime au hivyohivyo vyako but kwa hela ingine.
 
Jamaaa anasema ukweli, hasa kama uko Dar es salaam.Weziwanaipenda sana hiyo gari. Ila ni moja ya gazi nzuri sana kwa sasa, ulaji wa mafuta kawaida (2,000 cc), Speed na acceleration .....excellent, spare as other Toyota zipo ila bei kidogo hasa vitu vya show ya nje. Kwenye engine spare bei kawaida. Pia ni imara kwa matumizi ya kawaida ya mjini na safari zisizo za mara kwa mara
 
Back
Top Bottom