Tovuti/ e mail ya chadema

mwamagunda

Member
Joined
Feb 27, 2011
Posts
13
Reaction score
0
Nahitaji kuwasiliana na CHADEMA kama chama, siyo mtu binafsi. Ningependa kuwaambia jambo, lakini sina namna ya kuwapata moja kwa moja. Naomba yeyote mwenye uwezo wa kunisaidia afanye hivyo!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…