Totoz za supermarket

BOB LUSE

JF-Expert Member
Jan 25, 2014
3,738
3,199
Long time wakati biashara ya supermarket inaibukia ndani ya jiji la DAR nakumbuka eneo hilo ilikuwa moja ya uwanja wa mawindo.ukienda kununua stuffs wadada wazuri wanakuja kukusaidi kuchagua vitu na kukupelekea counter kulipa! litle i knew kuwa unavyoamua kufukuzia hao vimwana nao wanakuwa attention kufukuzia wateje! mpaka inajulikana mteja fulani anahudumiwa na mdada fulani! wote wawindaji!
Naona zama zimebadilika siku hizi sijajua kama haya mawindo bado yapo baada ya kustaafu kitengo hicho.
Wakina mama/wadada wakina Baba tukihudumiwa vizuri uzalendo huwa unatushinda jitahidi kutoka kwenda na mpenzi/mume wako sehemu mbalimbali kuepuka asijeingia majaribuni.

nice karume day though.
 
Hata kama wangekuwepo bado kwenye supermarket hamna watu wenye time nao sana maana sahv kila kona kuna watoto wazuri
 
Watoto wazuri dizain kama hizo nenda insta,Facebook badoo wamejaaa kibao sasa hivi hata wanaojipanga barabarani na kugombana na Siro sijui hawana smartphone?
 
Siku hizi wanauza Ice Cream... ukipita tu wanakuita uonje...

Kibo complex-Tegeta
Quality Center- Tazara
Mlimani City-
Dar Free Market-
Viva Tower-
My Fair Plaza-
Shoppers-
unakaribishwa kwa tabasamu bashasha na sauti nyororo.lazima utoe tip baada ya kununua ice cream.
 
Hata kama wangekuwepo bado kwenye supermarket hamna watu wenye time nao sana maana sahv kila kona kuna watoto wazuri
kweli mkuu siku hizi bongo kila mdada anajua kuoga na kupendeza.ni swala la kuchagua wapi unataka kubeba mzigo wako.
 
Kweli Mimi sio wa mjini, mageni haya....!
mkuu Dar ni kama chuo.vigumu kujua kila jambo.enzi hizo unapark gari umeshaonekana na wadada ndani! kila mara supermarket hiyohiyo moja! nashangaa kwanini wanawake majumbani hawajiulizi kwanini kila siku unaenda shoppers plaza mikocheni wakati kuna huduma location zingine! kumbe unaenda kutoa matunzo.
 
Watoto wazuri dizain kama hizo nenda insta,Facebook badoo wamejaaa kibao sasa hivi hata wanaojipanga barabarani na kugombana na Siro sijui hawana smartphone?
Umenikumbusha mkuu huko badoo ukichat kidogo unakutana na sms nisaidie elf 30 au 40 kama hutajali nina shida nazo baby wangu!!
 
Watoto wazuri dizain kama hizo nenda insta,Facebook badoo wamejaaa kibao sasa hivi hata wanaojipanga barabarani na kugombana na Siro sijui hawana smartphone?
kweli mkuu siku hizi ni dating zone unajitwalia kitu roho inapenda.sema madame wengine muonekano wa picha na uhalisia vinautofauti mkubwa.
 
kweli mkuu siku hizi ni dating zone unajitwalia kitu roho inapenda.sema madame wengine muonekano wa picha na uhalisia vinautofauti mkubwa.
Ndio hivyo utandawazi umerahisisha mambo mengi na wanaonekana wazuri pale si ndio sokoni lazima ajiweke vizuri
 
Umenikumbusha mkuu huko badoo ukichat kidogo unakutana na sms nisaidie elf 30 au 40 kama hutajali nina shida nazo baby wangu!!
Ukituma ujue umeliwa na matapeli ndio wengi ila ukiwa mtu wa kukomaa utakula mzigo kila siku tofauti tofauti
 
nakumbuka mlimancity nilikua napenda mmi tu kutumwa au kununua vitu....wakati mwingine hata kuweka ela ndo ilikua sehem zangu
 
Umenikumbusha mkuu huko badoo ukichat kidogo unakutana na sms nisaidie elf 30 au 40 kama hutajali nina shida nazo baby wangu!!
Naamini kuna wanaume wenzetu wanatuma hela kwa kuombwa hela mtandaoni! kutoa hela kwa mtu usimjua/kumuona yataka uchizi kidogo! ukigoma kutoa hela huitwi baby tena.utachambwa!
 
Ndio hivyo utandawazi umerahisisha mambo mengi na wanaonekana wazuri pale si ndio sokoni lazima ajiweke vizuri
mkuu mmoja ilibidi nimpotezee nilipark gari tinted mimi namuona yeye hanioni nikakagua sifa na vigezo sifuri.nikasepa mitandaoni kupata uhalisia ni ngumu wengi ni walioshindikana
 
Ukituma ujue umeliwa na matapeli ndio wengi ila ukiwa mtu wa kukomaa utakula mzigo kila siku tofauti tofauti
mkuu nyapu kule ziko kibao kama wewe mkware kila siku.utagonga tena bila sound ni kushika mkono na kuchinja tu.mradi bundle ipo na hela ya bodaboda/taxi/ daladala
 
nakumbuka mlimancity nilikua napenda mmi tu kutumwa au kununua vitu....wakati mwingine hata kuweka ela ndo ilikua sehem zangu
maisha hayo yanapita.pale lazima ukutane na totoz wakaree wanapiga picha kwa photopoint
 
Back
Top Bottom