Tosamaganga sekondari... Kufungwa

Tosamaganga sekondari... Kufungwa

kweli tuna safari ndefu, hii ni habari au ulikuwa unatuma mesage kwenye simu bahati mbaya imekuja huku.

sisi wengine hatujui porojo nyingi. kifupi, tosamaganga sekondari huenda ikafungwa,ni kutokana na majengo kuchakaa. source. rfa
 
Kama imewashinda kwa nini wasiwarudishie wenye shule yao?
 
Kisa uchakavu wa majengo...ahsanteee. Sirikali sikivu kwa brn hii.

Nasikitika Wapo Watu Wa Muhimu Sana Waliosoma ktk Shule Hiyo Na Haswa Ni Hawa Watatu Muhimu :
1. Mheshimiwa Jumanne Maghembe................................... Waziri
2. Mheshimiwa Mathayo David Mathayo............................. Waziri
3. Mheshimiwa Zitto Zubeiry Kabwe ( Tena Huyu Alikuwa Ni Head Prefect Alipokuwa Hapo )..................Mbunge
Na Mijitu Mingine Mingi tu Lakini Imeuchuna Huku Shule Ikiwa ktk Hali Mbaya Na Ya Kutia Aibu.
 
nasikitika wapo watu wa muhimu sana waliosoma ktk shule hiyo na haswa ni hawa watatu muhimu :
1. Mheshimiwa jumanne maghembe................................... Waziri
2. Mheshimiwa mathayo david mathayo............................. Waziri
3. Mheshimiwa zitto zubeiry kabwe ( tena huyu alikuwa ni head prefect alipokuwa hapo )..................mbunge
na mijitu mingine mingi tu lakini imeuchuna huku shule ikiwa ktk hali mbaya na ya kutia aibu.

maisha ya ujamaa na ujima aliondoka nayo nyerere. Sasa hivi,chukua chako sepaaa...no.kugeuka nyuma
 
hahaha poleni wadogo zangu ce hapo 2meondoka 2012.
 
hahaha poleni wadogo zangu ce hapo 2meondoka 2012.

Kiukweli majengo yote ya ghorofa hayana usalama wa kutosha maana ni miaka mingi na sidhani zaidi ya kupaka rangi kama majengo yamewahi kufanyiwa AUDIT ili kuona kama bado yanafaa kutumiwa. Na eneo la Tosamaganga ni eneo la matetemeko, sometimes in 90s ilikuwa heka heka. Majengo yale ni hatarishi kwa kweli yatakuja kuleta madhara hivi punde. Shule ifungwe tu. Wanafunzi wapelekwe Malangali, Ifunda na Njombe. Ndipo Ngalalekumta ajichukulie shule yake.
 
sasa hivi ni mwendo wa kufurahia kula posho laki 3 rate mjengoni. mambo ya shule chakavu wakati wa kampeni.
 
old mandela ndilo jengo bovu pale cz kuna wing moja km ckisei left wing ilifungwa kitambo tu kwasababu ya nyufa kubwa zilizojitokeza ukizingatia ni ghorofa, niliondoka pale form 6, 2010 hali ya jengo kwa kwl syo nzur lakn kw yaliyobaki yote yalikuwa poa mapinduz ujamaa madarasa ya form 6 yote yapo imara labda yafanyiwe ung'arishaji
 
Mimi nmeingia 2014 lakn mpk natoka 2016 old mandera bado ipo vile vile haijaanguka hata cha ajabu jiko jipya lililotngënezwa wakat mm naingia limeanza kuharibika kabla ya majengo ya mjerumani.
 
Mimi nmeingia 2014 lakn mpk natoka 2016 old mandera bado ipo vile vile haijaanguka hata cha ajabu jiko jipya lililotngënezwa wakat mm naingia limeanza kuharibika kabla ya majengo ya mjerumani.
Nasikia mlikuwa hamfati chakula kule juu ni kweli?
 
Back
Top Bottom