Da Womanizer
JF-Expert Member
- May 24, 2010
- 1,577
- 148
Duh! haya banaViongo viongoo!
Duh! haya banaViongo viongoo!
Naona waliochangia hoja ya thread wachache kweli, wengi wameongea nje ya topic. Kuna kabinti nilikapenda sana, ila kalivyomuona ndugu yangu alivyo WHITEEEEE kakawa kanacheka-cheka kila white akiongea. Masikini wa mungu, jamaa akakaomba namba ya simu akampa. Basi kwa vile mi nilikuwa mkweli na muwazi kwake, basi akawa anajua ndugu zangu wote hivyo. Akawa anawaambia shoga zake amepata dume la nguvu white, hataki tena weusi kama Pepsi. Ilimchukua siku 2 tu kuvuliwa nguo na white. Baadae white akamgeuzia kibao, eti demu wake kutoka sweden amerudi kwa hiyo hawez kuendelea nae. Cha ajabu, kabinti kakawa kanamsujudu white, kanampigia magoti eti amsamehe asimuache kwan bado anampenda. Tangu siku hiyo ndo nikaamini akina white ni HATARI
nyoooooooooooooooooooo!!!!!!