Top Five companies to work for in Tanzania apart from the UN

best empolyer ni jeshi la polisi kitengo cha traffic siku ikiwa nzuri unapata hata laki tano kwa mwezi nyingi sana
 
kwanza niipenda kazi yangu...
Kwa hiyo Kampuni/Taasisi ya kwanza ni hii ninayofanya kazi.
Halafu zinafuata hizo tajwa hapo juuu. Nawasilisha
 
Mawazo ya wengi ni mazuri mana mtu unapata mawazo mazito zaidi kutoka kwa wengine na ukichanganya na uliyonayo kabisa....
 
kumbuka kua watu wengi hatuombi kazi ila tunaomba mshahara mzuri......!!!!! so kama unajijua upo kwa ajili ya mshahara mzuri & employee development KUA MAKINI SAAAANA ila kama unaitaji kazi kwa ajili yako na jamii kwa ujumla you have to look 4 the company that is competitive to its competitors and by doing so you benefit what you want from it........!, ayo ni maoni yangu. thanx
 
Jamani mnisamehe, hakuna utumwa dunianii kama KUAJIRIWA. Imangine huyu anakuja na thread yake ya kuuliza mishahara, nilijua anakuja na bishara yake atuulize jinisi gani aongeze masoko yake kwa msaada kutoka JF.

Nakushauri ufanye research ni biashara gani ufanye, kuajiriwa utazunguka makampuni yote bado mshahara hautoshi.
 
Wana jamii,
Ningependa kusikia ushauri wenu kuhusu best companies to work for in Tanzania. Hii ina include salary, benefits, employee development, etc.

Weka malengo yako wewe unategemea nini mfano salary ni relative term inayokutosha wewe pengine hainitoshi mimi! benefits zipo nyingi ainisha ambazo unadhani ni basic kwako, employee development nazo ni za aina nyingi na kwa fani mbalimbali sasa wewe fani yako ni ipi na development gani utegemee then tukupe ranks hapa, Fanya hivo otherwise criteria zako ziko too general wakati perception ziko too subjective!
 
Wana jamii,
Ningependa kusikia ushauri wenu kuhusu best companies to work for in Tanzania. Hii ina include salary, benefits, employee development, etc.

Kariakoo Market
Una uhakika wa chakula na mahitaji yako kila siku, mshahara wa kutosha,muda mwingi wa kuzunguka, na kwa hela za dili unazopata uanaweza kijitibu popote na maisha yako yote. Hata bodi yetu ilimaliza muda 10 years ago, lakini wameendelea kula mshahara na marupu rupu mengine mpaka kesho, job security ya kutisha. Huu ni mtazamo wangu.
 
Unazungumzia SPANCO hawa waliowalipa kastama kea tarehe 57 ya mwezi au wengine...??? Au unawasema wale wanaolipa Tshs. 250,000/= mshahara kwa hawa wapya...??? Maana hao wa wa zamani wana nafuu kwa vile walihamia huko toka Airtel na mishahara yao........ sasa hao waajiriwa wa sasa ................. ndo wanakula huto tu laki mbili na nusu................

Hao hao Spanko wapo kikazi zaidi...Wananyonya jasho la Mabinti na Makaka wa watu... nili~penda kumkumbusha CCR AIRTEL...Kuwa wao sio AIRTEL bali ni SUPANKOOO au sio???
 
The best company to work with is your own company, create your own company so that you can enjoy more. Mtu asikudanganye, Si dhani kama mnajua ni kwa nini kampuni kama ya Barick inatangaza nafasi za kazi kila kukicha.
 
Green: Siyo Best working Organization kwa sababu hakuna usawa na hakuna mifumo mizuri ya ajira, Upendeleo na kujuana ndo vina-lead mtu kupata kazi hapo na sio qualification

Red: Ufisadi mwingi unfanyika huko, so kwa mzalendo kama mimi am not happy kufanya kazi sehemu ninayoshuhudia ukianzia hapo.

Blue: Ukabila mwingi bila kujali qualification. Yaani hapa ndo hata utashuhudia wanaongea kilugha pale customer care.

My Take:
Jiajiri uachane na maswali kama hayo!
Ingawa upo nje ya mada kidogo...Lakini ili ndio jibu la kiupeo/malengo kwa baadye au sasa(kama una mtaji)
nimeipenda hii.
 


Jamani mambo ya salary bongo ni usanii..wakati watu wa makampuni binafsi waongelee take hm za 2m-4m..Kuna mtu mmoja yuko organization moja ya serikali kwake POSHO ZAKE KWA MWEZI NI AVERAGE YA 5M KWA MWEZI...wakati take home yake ni 415,000. Akipata training mbili ndani ya mwaka inakuwa balaa.... Ukipiga story na watu hawa utapabaki unashangaa
 
Sumaria group is among the best. Maslahi bomba, usawa kazini, heshima kwa wote, kazi inahitaji nini tena
 
Hi

I beg to differ... Barrick gold tena?!!! naona hawa watu walishindwa kunilipa 3.8 M net ( i'm an MBA holder and with almost 8years working experience) while where i was working by then while applied to Barrick i was getting 3.5 M net... Jamani Barrick tena?!! Eti they wnated em to work for them at 2M net......... mhhhh!

Mkuu English hii alafu unadai una MBA nadhani ustahiki kulipwa hata laki tisa, nadhani ndio sababu waliamua kukpunguzia mshahara
 
Fanyeni kazi! Hii mishahara inawadanganya! Hiyo list hapo yote ni basics! Halafu wewe unaonyesha eti net!, woman of substance amewaelewesha vizuri,ukitaka kufaidi dunia hii uwe na skills za kuwafanya waajili wakutongoze! Ukitazama mishahara utakuta mshahara aliopewa juma wewe hata ungesisitiza vipi hutaupata tena nafasi ileile kampuni ileile
 
Haiwezekani hawa jamaa kila baada ya miezi kadhaa post zilezile wanatangaza upya!
Precission hamna kitu na uwakika huo na ushahidi upo!

Mkuu kibanga, sio kila baada ya miezi kazaa..Barrick huwezi kukosa tangazo lao la kazi ndani ya wiki moja. Wewe kila siku pitia gazeti, wiki haipiti bila kuona tangazo la kazi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom